Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,877
- 2,758
Aliyeangua nazi, aliyezikusanya, punda aliyebeba, aliyekula, chuma kilichofulia nazi, vyote viliwaka moto...albadili hiyo!
He...........................!!!!!!???????
Badala ya kuandika RIP, nimejikuta nacheka hahahaha... Kama sinema vile, siasa za Bongo bana
I can confirm imetokea kweli kama ilivyoelezwa kwenye 1st post. Details zitafuatia
He...........................!!!!!!???????
Badala ya kuandika RIP, nimejikuta nacheka hahahaha... Kama sinema vile, siasa za Bongo bana
I can confirm imetokea kweli kama ilivyoelezwa kwenye 1st post. Details zitafuatia
Mkonyeze Chikawe arekebishe
mambo i.e afanye ibada ya kuomba msamaha maana ni yeye inasemekena
alitoa msaada wa sanda. Ni jambo la kusikitisha sana. RIP
waliotutangulia. poleni wafiwa.
Dawa ya moto ni moto,
Ndiyo chama gani hiki kwani wewe siyo Ritz au ni ndugu yako tu....Mkuu mimi mbona ADC, kwa maendeleo,amani,upendo na demokrasia ya kweli. karibu chamani.
Hahahahaha, aiseeeee!
Haaaa haa haaaaaa , loh . . . . . ! naomba isiwe hivyo Mh. Waziri C...... ni mtu poa ingawa ni wa CCM