Waliochaguliwa wizara ya afya!!!

chakii

JF-Expert Member
Sep 15, 2013
19,685
22,694
Naomba kufahamu ni lini wizara itatangaza hayo majina wakuu!!


Natanguliza shukrani,.
 
mama yangu mkurugenzi wazara ya afya kaniambia matokeo yatatoka mwez huu ila majina yamepelekwa wizarani week hii, so nw wanachagua.jiandaeni kuyapokea wandugu.
 
mama yangu mkurugenzi wazara ya afya kaniambia matokeo yatatoka mwez huu ila majina yamepelekwa wizarani week hii, so nw wanachagua.jiandaeni kuyapokea wandugu.

matokeo gani mkuu, kwani watu wamefanya mtihani,.
 
jaman mm nimesoma math lakini sijasoma phys na nimefulu chem , bio,na math je wizala itanifikilia au haiwezekaniki kusoma afya hata privet
 
Nenda a-level kasome kombi mpya "cbm" kama una credit.
Ukipiga vizuri unaenda digrii moja kwa moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom