Jerhy
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 3,133
- 995
Msaada kwa haya majina hapo UDSM
1 Enock Pastory
2 Enock Mamba
3 Mininga Kalwinze
help me.!
S1164/0084/2010 ENOCK PASTORY (UD048) Bsc.Education in Commerce.
Msaada kwa haya majina hapo UDSM
1 Enock Pastory
2 Enock Mamba
3 Mininga Kalwinze
help me.!
Nashukuru sn wajumbe wa jf sina chakuwapa Ila mungu ndio atawalipa tuendelee na mshikamano huu tuzidi kupeana update na kuelekezana vya msingi tukikwazana tusameeane, nimechaguliwa udsm. Thanks soooo muuuch.
S1164/0084/2010 ENOCK PASTORY (UD048) Bsc.Education in Commerce.
PSPA ole wako uanze kuisiliba, jina AVELIN KALIPEN
Kaka hongera jina lako lipo ulichaguliwa s/n 6 kati ya 30 waliochaguliwa pts zilikuwa 7.5 kasome ss cose mkopo utapata inshallahS1164/0084/2010 ENOCK PASTORY (UD048) Bsc.Education in Commerce.
Sasa wewe unatushukuru sisi kwa lipi la maana tulilokufanyia?? Wewe nenda kasome, tena usome kwa juhudi na maarifa. Epuka vishawishi vya ngono na anasa. Hakikisha unapata first class.Nashukuru sn wajumbe wa jf sina chakuwapa Ila mungu ndio atawalipa tuendelee na mshikamano huu tuzidi kupeana update na kuelekezana vya msingi tukikwazana tusameeane, nimechaguliwa udsm. Thanks soooo muuuch.
nisaidien jaman s1871/0109/2010 Osebius Ashukuriwe Rwabina
Kaka hongera jina lako lipo ulichaguliwa s/n 6 kati ya 30 waliochaguliwa pts zilikuwa 7.5 kasome ss cose mkopo utapata inshallah
Tuma user name program name na program code nikuchekieSamahani naomba wadau mnichekie jina hili
SAYUNI B. CHAMBO