BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Nasikia kuna selection za watu waliofanya maombi ya kazi NIDA yametoka kwa ajili ya interview ya tarehe 29, nasikia ni gtazeti la mtanzania kama kuna anaeweza kunipatia access ya hayo majina nitamuona kama babu wa loliondo.:redfaces: