Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,784
Mtikila alikomaa hadi akapata usajili wa kudumu.
Subira na uvumilivu na ari ya kupambana ndizo zilipeleke D. P kusajiliwa.
Hawa viongozi wa C . C. J waliojitoa, sidhani kama wana nia ya kudhati ya kuleta upinzani hapa nchini kwetu.
Hawa ni waganga njaa, wenye uchu na uroho wa madaraka.
Tuwakatae popote watakapoenda.
Subira na uvumilivu na ari ya kupambana ndizo zilipeleke D. P kusajiliwa.
Hawa viongozi wa C . C. J waliojitoa, sidhani kama wana nia ya kudhati ya kuleta upinzani hapa nchini kwetu.
Hawa ni waganga njaa, wenye uchu na uroho wa madaraka.
Tuwakatae popote watakapoenda.