fidelis zul zorander
JF-Expert Member
- Mar 6, 2012
- 685
- 175
naku2mia xaxa hv dnt worry kaka !!
ze duduz pm yangu haujaiona man...
naku2mia xaxa hv dnt worry kaka !!
C kila prof. anahusika na admission. Idara ya udahili ndio ina username pamoja na password wanazo log in kwenye ile link iliyopo tcu kuona applicants waliopangiwa na cas. Na sizani kuna Prof. irresponsive that much.
C kila prof. anahusika na admission. Idara ya udahili ndio ina username pamoja na password wanazo log in kwenye ile link iliyopo tcu kuona applicants waliopangiwa na cas. Na sizani kuna Prof. irresponsive that much.
Kuna kitu nimekipata hapa
Kaka najua ya kwamba kuwa yule mzee hausiki na selection lakni kumbuka ya kuwa yeye ni Head wa department ya geology pale udzm mpango mzima ni lazima achague wanafunzi wake xo mwisho wa siku tunarudi kulekule kuwa ni lazima atakuwa na majina ya wale wote waliochaguliwa pale udzm.! Sasa kwa taarifa ni kwamba jamaa atanitumia majina yote kwenye ma email na mimi bila kinyongo nitajitahidi kuyaweka hapa jamvini ili kila moja aweze niamini na kwa habari zaidi ni kwamba selection zitaachiwa trh 13 mwezi Huu ambayo ni siku ya jumata3 Overrrr;-(
Kaka najua ya kwamba kuwa yule mzee hausiki na selection lakni kumbuka ya kuwa yeye ni Head wa department ya geology pale udzm mpango mzima ni lazima achague wanafunzi wake xo mwisho wa siku tunarudi kulekule kuwa ni lazima atakuwa na majina ya wale wote waliochaguliwa pale udzm.! Sasa kwa taarifa ni kwamba jamaa atanitumia majina yote kwenye ma email na mimi bila kinyongo nitajitahidi kuyaweka hapa jamvini ili kila moja aweze niamini na kwa habari zaidi ni kwamba selection zitaachiwa trh 13 mwezi Huu ambayo ni siku ya jumata3 Overrrr;-(
Kaka najua ya kwamba kuwa yule mzee hausiki na selection lakni kumbuka ya kuwa yeye ni Head wa department ya geology pale udzm mpango mzima ni lazima achague wanafunzi wake xo mwisho wa siku tunarudi kulekule kuwa ni lazima atakuwa na majina ya wale wote waliochaguliwa pale udzm.! Sasa kwa taarifa ni kwamba jamaa atanitumia majina yote kwenye ma email na mimi bila kinyongo nitajitahidi kuyaweka hapa jamvini ili kila moja aweze niamini na kwa habari zaidi ni kwamba selection zitaachiwa trh 13 mwezi Huu ambayo ni siku ya jumata3 Overrrr;-(
kama vipi mwambie akutumie sasa hivi...ili na wewe ufanye mpango mpango wa kuyapaste humu...
Kaka haraka ya nini? Just wait 2moro i swear to GOD nitayaweka hapa jamvini ili muamini coz mnadhan nawatania.! I'm a great thnkr and i knw what am duin..
mkuu,hata hapo bado huaminiki.mimi kwa uelewa wangu,head of department anakabidhiwa orodha ya wanafunzi wale wanaokua tayari wameripot vyuon na kufanyiwa registration,mbali na hapo haya masuala mengne yote hayamhusu kwa sasa.well,itakua vizuri huyo msela wako akikutumia hayo majina nawe uyacopy hapa ili na sie tukuamini!na ni nani alikudanganya head of department huwa anafanya kazi ya kuchagua wanafunzi wake,unazijua kazi za ma admission officers au selection committee weye,na infact kwa mfumo wa sasa system ndio inayokuchagua na sio mambo ya manual kama enzi za nyerere.
mkuu,hata hapo bado huaminiki.mimi kwa uelewa wangu,head of department anakabidhiwa orodha ya wanafunzi wale wanaokua tayari wameripot vyuon na kufanyiwa registration,mbali na hapo haya masuala mengne yote hayamhusu kwa sasa.well,itakua vizuri huyo msela wako akikutumia hayo majina nawe uyacopy hapa ili na sie tukuamini!na ni nani alikudanganya head of department huwa anafanya kazi ya kuchagua wanafunzi wake,unazijua kazi za ma admission officers au selection committee weye,na infact kwa mfumo wa sasa system ndio inayokuchagua na sio mambo ya manual kama enzi za nyerere.
nyie bisheni lkn mm matokeo ya udsm ninayo
we unajua c hatujui,majibu kaanayo yote ku2.
Na ukiniuzi siya Post !! Kwani lazima kuya post