Walinzi wa marais

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Kwa nini walinzi wa marais wa nchi zinazoendelea kwa jumla lakini hasa Afrika, wanavalia sare za kijeshi? Ukiangalia walinzi wa nchi zinazoendelea, wanavalia suti karibu sawa na marais wanaowalinda. Kuna sababu gani nyuma ya tabia hizi na ukweli huu?
 
Back
Top Bottom