sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Hivi walinzi wa rais akiwa kwenye msafara wana silaha kiasi gani iwapo watu wenye hasira wakiamua kumshambulia kwa mawe kutokana na kushindwa kutekeleza majukumu yake kama kiongozi mkuu wa nchi? Vile vi bastola kiunoni kweli vinaweza kushindana na nguvu ya umma?