uwa nikikuta ubao umejazwa mpaka chini uwa najiuliza umejazwaje
Acha kabisa @C6, afu tukigoma wanasema madai yetu HAYATEKELEZEKI!
hii mbona imepitwa na wakati. power point ndiyo kila kitu siku hizi.
uwa nikikuta ubao umejazwa mpaka chini uwa najiuliza umejazwaje
hizo ni mvi au vumbi la chaki!
uwa nikikuta ubao umejazwa mpaka chini uwa najiuliza umejazwaje
Huyu atakuwa Kakiko wa Mathematics Dept pale UDSM. Jamaa huwa anatema lekcha hadi anatoa mapovu.
Unauhakika kila kijiji na kata kina umeme?hii mbona imepitwa na wakati. power point ndiyo kila kitu siku hizi.
Hilo darasa haliwezi kuwa kijijini. Darasa Full tiles, mwalimu naye kaulamba, tai kwa kwenda mbele -hata lili pozi alilokaa siyo la kijijini!!!!!Unauhakika kila kijiji na kata kina umeme?
Tembelea baadhi ya shule zinazojiita international/Academia zipo kama hiyo pamoja na kuwa na taa darini hakuna 'switch socket' kwa ajili ya hicho unachokisema sembuse shule za Kayumba.Hilo darasa haliwezi kuwa kijijini. Darasa Full tiles, mwalimu naye kaulamba, tai kwa kwenda mbele -hata lili pozi alilokaa siyo la kijijini!!!!!
kwa umeme upi!!??