Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Sijui na huko kwenye MAKAMBI ya JKT je hizi sumu hazijafika? Na huko kuna BUNDUKI na MABOMU sijui itakuaje? Lile somo la siasa watafundisha za vyama vyote au litaachwa? TAFAKARI
Hali ni mbaya zaidi kule,kuna wakufunzi wataalam wa kutoa sumu juu ya serikali vibaya. Nimepiga hiyo kozi ya nikiwa kikosi cha 835Kj,yatosha kumuomba Allah kwa 2015