zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
- Thread starter
- #21
Van dame umeleta pumba. Huna aibu?
Nipe SI-UNIT ya PUMBA.
Van dame umeleta pumba. Huna aibu?
mind you the world is ruled by a mob; comprising of a few crafty people who can move the world to achieve their vision! Thus said;
"any successful revolution is achieved either by persuasion or by coersion!"
Van dame umeleta pumba. Huna aibu?
Mkuu zubedayo!
Na huo u van dame wako wakati wa vita kuu ya dunia ya pili kweli wewe ungeweza ku survive?
Hata Mwenyezi Mungu anauchukia uoga!
mkuu shelisheli nakuunga mkono, ni wasaliti, chukulia dhana hii, je wao si wanachama wa cwt??? Je wanapomchagua raisi wao wote huwa wamempigia kura za ndio????????? Ukweli ni kwamba hata waliopiga kura za hapana aliyeshinda huwa raisi wa wote, kanusha.
Hivyo, ndivyo hivyo kwenye migomo kura ya ndio ikishinda huo ndio huwa uamuzi wa mwisho wa wanachama wote, kwenda kinyume ni uasi - neno la mungu linasema waoga hawatauingia ufalme wa mungu, waoga hawanifai. Ukishindwa kushindana na mpinzani wako ungana naye. Hekima na busara ni bora kuliko mali nyingi.
Hivi ambao hawakumchahua Kikwete mwaka 2010 hivi sasa si rais wao?
Van dame umeleta pumba. Huna aibu?
sasa kinakushangaza nini kwa ambao hawakuunga mkono mgomo kwenye kura kuhusishwa? maamuzi ya wengi ndio yanaheshimiwaRais wao,so then..
sasa kinakushangaza nini kwa ambao hawakuunga mkono mgomo kwenye kura kuhusishwa? maamuzi ya wengi ndio yanaheshimiwa
Hizo ni isolated cases ambazo vyombo vya dola vinapaswa kuzishughulikia harakaHuwa wanapigwa.
Alaaaa kumbe!! Hapa hata zoezi la sensa litavurugika, kama walimu watakuwa kwenye mgomo inabidi wasihusishwe kwenye zoezi la sensa ingawa walipewa kipaumbele katika kuwa miongoni mwa watakaokuwa wanahesabu watu. Na muda wo wote waliochaguliwa wataitwa kwenye mafunzo ya sensa. Kwa vile serikali wanayoigomea ni hii hii basi wasiteuliwa katika zoezi hili maana watakuwa majumbani wanaendelea na mgomo........