Walimu wapya wa wilaya ya kinondoni mmeonyesha Mfano!

ZeTicha

Member
Jan 20, 2012
80
2
Dharau aliyoonyesha afisa elmu, almanusura imtokee puani, baada ya kutaka kuwalipa walimu hela ya siku3 kujikimu,baada ya siku7. Walimu wote walgoma kuichukua.....
"msimamo na umoja ndo nguzo kuu" big up walimu wa kinondon.
 
Bado kidogo tukaze moyo tuamue kumuadabisha kwanza Spika wa Bunge Anna Semakinda, halafu mdanganyifu Mtoto wa mkulima, Pinda aliyepinda, halafu mwisho tuligeuze bakuli lote tumteme Jakaya, tuone kina Ridhiwani watakula jeuri yao:photo::alien:
 
Back
Top Bottom