Dharau aliyoonyesha afisa elmu, almanusura imtokee puani, baada ya kutaka kuwalipa walimu hela ya siku3 kujikimu,baada ya siku7. Walimu wote walgoma kuichukua.....
"msimamo na umoja ndo nguzo kuu" big up walimu wa kinondon.
Bado kidogo tukaze moyo tuamue kumuadabisha kwanza Spika wa Bunge Anna Semakinda, halafu mdanganyifu Mtoto wa mkulima, Pinda aliyepinda, halafu mwisho tuligeuze bakuli lote tumteme Jakaya, tuone kina Ridhiwani watakula jeuri yaohoto::alien:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.