mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
wale wanye tafit zao zisizokuwa na vyanzo, angalieni
hawa walimu wanadalili zote kugoma kwa kuwa sasa wanaperform
mambo yao kikanda, kigoma, kanda ya ziwa, kanda ya kaskazini
pwani nk
lingine lamsingi katika hilo ni
1 gogoro baina ya walimu na chama chao CWT
2 kubainisha mgomo wao ni taarifa zilizosemwa na bila kupata wafuatiliaji
kuwepo waliofoji vyeti na kuzorotesha wenzao, hili tatizo litakuja kuwa kama fumanizi kwa wale waliofoji
haiyamkiniki kuwa hata wenzao wenye sifa wanashushia kipigo, maana ni wezi na waliochuma fedha ambazo si halali
hakika hili litakuja kuwa pigo kubwa, na nina uhakika heshima kwa walimu itakuja kudhihilika
hawa walimu wanadalili zote kugoma kwa kuwa sasa wanaperform
mambo yao kikanda, kigoma, kanda ya ziwa, kanda ya kaskazini
pwani nk
lingine lamsingi katika hilo ni
1 gogoro baina ya walimu na chama chao CWT
2 kubainisha mgomo wao ni taarifa zilizosemwa na bila kupata wafuatiliaji
kuwepo waliofoji vyeti na kuzorotesha wenzao, hili tatizo litakuja kuwa kama fumanizi kwa wale waliofoji
haiyamkiniki kuwa hata wenzao wenye sifa wanashushia kipigo, maana ni wezi na waliochuma fedha ambazo si halali
hakika hili litakuja kuwa pigo kubwa, na nina uhakika heshima kwa walimu itakuja kudhihilika