mwalimu Jr.
Member
- Aug 20, 2008
- 51
- 4
"Aidha, Serikali inaandaa
mradi mkubwa wa kujenga nyumba za walimu nchi nzima kwa
kuanzia na maeneo ya pembezoni yenye mazingira magumu ili
kuondoa kero za makazi ya walimu."
Kuna uhusiano wa moja kwa moja na wale walimu wa Katerero kuchapwa viboko na DC baada ya kuchelewa kuripoti kazini kutokana na umbali uliopo kati ya walimu wanakoishi na shule ilipo. Bila shaka walimu wote sasa wataimba: "Kikwete wetu tu, mwingine hatuna haja naye hata mapadri waseme vipi!!! "
mradi mkubwa wa kujenga nyumba za walimu nchi nzima kwa
kuanzia na maeneo ya pembezoni yenye mazingira magumu ili
kuondoa kero za makazi ya walimu."
Kuna uhusiano wa moja kwa moja na wale walimu wa Katerero kuchapwa viboko na DC baada ya kuchelewa kuripoti kazini kutokana na umbali uliopo kati ya walimu wanakoishi na shule ilipo. Bila shaka walimu wote sasa wataimba: "Kikwete wetu tu, mwingine hatuna haja naye hata mapadri waseme vipi!!! "