nyangasese
Senior Member
- Aug 21, 2011
- 129
- 22
Leo mnamo majira ya mchana mamia ya walimu katika jiji la mwanza wameamua kugoma kufundisha na hatimaye kuandamana kuelekea katika ofisi za halmashauri ya jiji kudai haki zao ikiwa pamoja na kutorekebishiwa mishahara yao tangu 2009 pamoja na madai mengine ambayo waliahidiwa kulipwa mwezi uliopita.kwa taarifa zaidi fuatilia taarifa ya habari star tv usiku huu