Walimu wafumaniwa wakilana uroda darasani

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,144
3717186.jpg


Mwalimu Alini Brito kushoto na mwalimu Cindy Mauro kulia

Walimu wawili wanawake wa nchini Marekani wamesimamishwa kazi baada ya kufumaniwa wakiwa uchi wa mnyama wakisagana darasani.

Mfanya usafi wa shule hiyo alimfumania mwalimu mwanamke wa somo la kifaransa Cindy Mauro mwenye umri wa miaka 33 na mwalimu mwingine mwanamke wa somo la Kihispania Alini Brito mwenye umri wa miaka 29, wakiwa uchi wakisagana ndani ya darasa moja la shule ya sekondari ya James Madison High School iliyopo Brooklyn, New York nchini Marekani.

Kwa mujibu wa gazeti la New York Daily News, walimu hao walikuwa wakipeana raha huku wanafunzi wakishuhudia shoo hiyo ya kikubwa kupitia darasa la pembeni yake.

Walimu hao wamesimamishwa kazi huku uchunguzi zaidi wa tukio hilo ukiendelea.

Tukio hilo lililotokea tarehe 20 mwezi uliopita, limewafanya wanafunzi waanzishe makundi kwenye Facebook wakiwazungumzia walimu wao.

"Tunatamani tungekuwa tumeweka kamera kwenye madarasa yetu kabla ya tukio lile", alisema mmoja wa wanafunzi ambaye hakutajwa jina lake katika kundi la Facebook lenye wanachama 500.

Mwalimu mkuu wa shule hiyo alikataa kusema chochote lakini mume wa mwalimu Brito alielezea kustushwa na tukio hilo.

Walimu hao walikuwa ni maarufu sana shuleni hapo kutokana na vibwanga vyao.

Mwalimu Mauro alikuwa ni mcheshi na aliyependa kuvaa nguo kama msichana mdogo akionyesha maumbile yake.

"Mwalimu Mauro alikuwa akivaa sketi fupi au jeans fupi na vitopu vinavyoishia kitovuni, alikuwa ni mrembo kweli", alisema mwanafunzi Eddie Ramirez mwenye umri wa miaka 18.

Mwanafunzi huyo alisema kuwa uvumi ulisambaa kwa kasi kuhusiana na mahusiano ya walimu hao lakini walimu wengine walijaribu kulizima soo hilo lisibumburuke.

Msemaji wa kitengo cha elimu, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na amesema kuwa walimu wote wawili wamesimamishwa kazi wakati uchunguzi ukiendelea.
 
Mi nilijua Bongo hapa hapa kumbe kwa weupe ahaaaa hakuna kitu cha ajabu hapo.
 
Mizungu wakati mwingine nadhani inajisikia tu kufanya mambo ambayo lazima yawashangaze watu!!.....
 
hivi watu wazima wata fanyaje mambo hayo wakiwa watupu na wakijua kabisa watoto wanawatazama au ndio "gay awareness campaign" in style?
 
Max Shimba unasemaje hapo??? ingekuwa waislam ingekuwa issue hiyo.

Hafif, hivi waislam ni watu, dini, kikundi cha watu, cult, majina ya watu, au nini?

Ulicho wafanya wewe baada ya kuona majina ni ya ki western, basi umesha fikiria hao watu ni Wakristo! Having a western name does not make someone a christian.

Walicho fanya hoa wadada wa Midwood si jambo lakufurahisha wala kupigia debe. Kama wangekuwa Uganda, nafikiri unaelewa Mukulu Museven angewafanya nini.

Hivyo Ndugu Hafif, mimi sina chuki na Waislam, bali si furahishwi na sheria za sharia ndani ya Koran na Koran. Kwa taarifa yako, rafiki yangu Mkubwa kwa miaka takribani 15 na ushehe ni Shehe anaye ishi Alexandria Misri. Shehe S. M. Attia.

Watakabahu,

Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ.
 
Hafif, hivi waislam ni watu, dini, kikundi cha watu, cult, majina ya watu, au nini?

Ulicho wafanya wewe baada ya kuona majina ni ya ki western, basi umesha fikiria hao watu ni Wakristo! Having a western name does not make someone a christian.

Walicho fanya hoa wadada wa Midwood si jambo lakufurahisha wala kupigia debe. Kama wangekuwa Uganda, nafikiri unaelewa Mukulu Museven angewafanya nini.

Hivyo Ndugu Hafif, mimi sina chuki na Waislam, bali si furahishwi na sheria za sharia ndani ya Koran na Koran. Kwa taarifa yako, rafiki yangu Mkubwa kwa miaka takribani 15 na ushehe ni Shehe anaye ishi Alexandria Misri. Shehe S. M. Attia.

Watakabahu,

Max Shimba, A Bondservant of Jesus Christ.

Wangekuwa waarabu hao ingekuwaje?

Lakini kwa kuwa wazungu unawakana hata kwa majina yao. lakini kumbuka kuna waarabu wakristo vile vile.

Adhabu bakora 100 hadharani bila kujali cheo wala rangi.
 
Max Shimba unasemaje hapo??? ingekuwa waislam ingekuwa issue hiyo.

Dini zao zinahusika vipi kwenye tukio hili? wakora na wahuni hawana dini.Wamgekuwa na dini basi ingekuwa rahisi sana kuachana na dini ya wahalifu na kuingia dini ya malaika.
Ushawahi kucheki stats za wahalifu na walioko magerezani bongo? Bado utakuwa na swali kama hili?
 
Wangekuwa waarabu hao ingekuwaje?

Lakini kwa kuwa wazungu unawakana hata kwa majina yao. lakini kumbuka kuna waarabu wakristo vile vile.

Adhabu bakora 100 hadharani bila kujali cheo wala rangi.

Are Arabs better? Mbona huwa mnapenda kuchanganya Uarabu na Usilamu? Au usilamu ni uarabu? Hivi mnalishwaga nini kwenye Mad-rasa ya Marehemu Muham-mad?
 
Back
Top Bottom