Walimu waanza mgomo.

hata wakigoma haisadii kwani mishahara mipya ipo tayari mpaka sasa tar 10/07 labda kwa mwaka mpya wa fedha mwakani
 
Sio rahisi kwa walimu wa nchi hii labda Kenya......walimu wa tz ni waoga mnoo wa kudai haki zao!.......yaani wangeweza kugoma hata kwa masaa kadhaa tu achilia mbali siku nzima mie ningewapa hongera!
 
Huku chama cha walimu kikiwa bado kimya kuhusiana na mgomo wa walimu.Walimu mkoani Dodoma wameanza mgomo huo kimya kimya katika shule mbalimbali za mkoa huu.Nikiongea na baadhi ya walimu ambao hawakutaka majina yao kutajwa hadharani wamesema hawatasubiri tamko la CWT kwani wao ndio wanaoathirika kwa kiasi kikubwa.Wametoa wito kwa walimu nchini kote kupigania haki zao wenyewe na wameomba kuungwa mkono katika swala hili na pia wamewaomba walimu kuacha woga kwani woga ndio yatakuwa mateso yao.


wachochezi utawajua tu mioyo yao inajawa na furaha wakati wa mgomo.

waliogoma hawataki kutajwa kuna haja gani kulikuza jambo hilo wakati wao wamegome kimya kimya.
 
Walimu wapo kwenye mgoo baridi siku nyingi sana tangu JK aingie madarakani, kwani kipimo cha mgomo uliopo ni kiwango cha ufauru kwa watoto wetu kipo chini sana, sasa kwa akili fupi za serikali yetu inataka mpaka watamke ndo wajue wamegoma cha muhimu hapa ni serikali kutekelza mahitaji muhimu ya Walimu ili wafundishe kwa moyo ili kiwango cha ufauru kiongezeke.
 
mwaka 1993 wakati ule nilikuwa darasa la tatu waliweza wakiongozwa na mheshimiwa magreth sitta, na kati ya mafanikio yao ni kukataa kuwa ualimu ni wito... that time my dad alikuwa mmoja wa viongozi waliandaa yale maandamano pale tambaza na azania... juzi nikamuuliza this time mtaweza? alichoniambia '' nyie madaktari mmeanza sisi tutamalizia bado sijazeeka baba yako'' lets wait and see
 
mwaka 1993 wakati ule nilikuwa darasa la tatu waliweza wakiongozwa na mheshimiwa magreth sitta, na kati ya mafanikio yao ni kukataa kuwa ualimu ni wito... that time my dad alikuwa mmoja wa viongozi waliandaa yale maandamano pale tambaza na azania... juzi nikamuuliza this time mtaweza? alichoniambia '' nyie madaktari mmeanza sisi tutamalizia bado sijazeeka baba yako'' lets wait and see

migomo family
 
Walimu siwaamini sana,,na ndo wanatuangusha mara zote wakipewa tujihela tudogo kusimamia chaguzi basi wanasahau taaabu zao zote. Cjui nani aliwaroga
 
walimu wa sasa ni vjana na wengi sana ni degree holders.waliokuwa waoga kizazi chao wengi ni wastaafu na wachache waliobaki hawana nguvu.vyuo vikuu vyote kila mwaka wanatoa walimu wakutosha na wengi wao sasa wanapangwa shule za kata ambako ndio matatizo sugu ya lipo na mazingira magumu ya kazi.Serikali ijiandae kwa sunami kubwa la mapinduzi ktk kada ya ualimu.
 
walimu wa sasa ni vjana na wengi sana ni degree holders.waliokuwa waoga kizazi chao wengi ni wastaafu na wachache waliobaki hawana nguvu.vyuo vikuu vyote kila mwaka wanatoa walimu wakutosha na wengi wao sasa wanapangwa shule za kata ambako ndio matatizo sugu ya lipo na mazingira magumu ya kazi.Serikali ijiandae kwa sunami kubwa la mapinduzi ktk kada ya ualimu.
 
serikali dhaifu ya jk ni chanzo cha kila kitu, kupona kwa taifa hili ni 2015 endapo nchi nyakwa na chadema
 
Yaani hawa vingozi wa CWT wanakera sana hawana misimamo kama watu wanaoweza kujitegemea kifikra na kiakili wakipigwa mkwara kidogo tu wananywea .Kwa taarifa zilizopatikana za kiintelijensia SERIKALI IMEWAPIGA MKWARA WAMENYWEA.
TAMKO TUNALOLITOA SISI WALIMU WENYE KUJITAMBUA NA HAKI ZETU TUNAZITAMBUA KAMA HILI WALIOLIANZISHA WATASHINDWA KULIMALIZA WAJIUZULU MARA MOJA KWENYE NYAZIFA ZAO NA DAMU CHANGA INAYOJUA INACHOKIFANYA IINGIE NA IFANYE KWELI
MUKOBA ASITAFUTE POPULARITY NA KATIKATI YA NGOMA ANAPOTEA ITABIDI TUANZE KUUFUMUA UONGOZI MZIMA WA CWT NDIO MAMBO MENGINE YAWEZE KWENDA .
CWT TAIFA MTAJIJISHUSHIA HADHI NA KUPOTEZA KABISA HESHIMA ZENU MKISHINDWA KULIMALIZA HILI MLILOLIANZA NA MTAONEKANA KAMA MATAHIRA TU NA HAKUNA ANAYEWEZA TENA KUZISIKILIZA KAULI ZENU
 
Siamini....! Walimu?
Na hii sensa iliyoko mbele Yao, thubutuuuuu.
 
Kwa walimu this is a pipe dream maana wengi ni waoga na hasa walimu wa shule za msingi ndio kabisaaa maana wao ndio victim wa vyeti vya kufoji na so hata maamuzi yao wengi ni butu kabisa,just imagine 244,400/= per month ambayo ni gross salary so bado reduction zingine kama vile income tax,PSPF,NHIF n.k. kinachobakia hapo ndio bado kodi ya nyumba,usafiri na mahitaji mengine binafsi na soko letu lenye mfumuko wa bei kila machweo!!!
lakini pamoja na shida zote bado wanakosa sauti ya pamoja kupinga dhuluma ya wazi hiyo. KAMWE HAKUNA MGOMO KWA HAO VIUMBE AMBAO UTAINYIMA HII SERIKALI RAHA KAMA VILE AMBAVYO MADAKTARI WAMEWEZA
 
Kwa walimu this is a pipe dream maana wengi ni waoga na hasa walimu wa shule za msingi ndio kabisaaa maana wao ndio victim wa vyeti vya kufoji na so hata maamuzi yao wengi ni butu kabisa,just imagine 244,400/= per month ambayo ni gross salary so bado reduction zingine kama vile income tax,PSPF,NHIF n.k. kinachobakia hapo ndio bado kodi ya nyumba,usafiri na mahitaji mengine binafsi na soko letu lenye mfumuko wa bei kila machweo!!!
lakini pamoja na shida zote bado wanakosa sauti ya pamoja kupinga dhuluma ya wazi hiyo. KAMWE HAKUNA MGOMO KWA HAO VIUMBE AMBAO UTAINYIMA HII SERIKALI RAHA KAMA VILE AMBAVYO MADAKTARI WAMEWEZA

Kama kweli waalim wameanza mgomo; wenye ndugu zetu ambao ni waalim tusikose kupitapita kule kwenye msitu wa pande na mabwepande, twaweza kukuta miili yao imetupwa huko
 
Watu mbona mnashangaza mnashabikia tuu migomo ili mpate ya kuandika humu au laa, tuache hayo mashabiki ya ajabuajabu tuangalie mambo ya maendeleo na kuendeleza taifa letu
 
Back
Top Bottom