Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,051
- 653
Usijali mkuu hilo linafanyika vizuri sana.
silaha hizi zitakuwa mkuki wa moyono kwa ccm huku kizazi cha sasa kukosa elimu bora
Usijali mkuu hilo linafanyika vizuri sana.
Wana Jf.
Katika kuonesha kwamba walimu tumechoshwa na kupuuzwa na serikali sasa tumeamua kutumia Silaha ya mwisho ili matokeo yake iwe funzo kwa serikali hii dhaifu kama msg inavyosomeka hapa chini.
Ndugu mwalimu: Katika somo au masomo yako hakikisha humwandai mwanafunzi kupata A,B,C wala D, mwandae katika kiwango cha F kwasababu hata akipata A juhudi zako ni sawa na bure. HII NDIO SILAHA YETU YA MWISHO. Tuma msg hii kwa walimu wengine.
Nimepokea msg hii ambayo imeonekana kusambazwa kwa kasi kwa walimu wengi mana nimeipata kutoka kwa walimu tofauti tofauti.
Haya sasa KAZI IMEANZA je dhaifu atakubali kutusikiliza au kwa silaha hii pia atakwenda mahakamani?!
Mawazo haya, na akili ya namna hii ni DHAIFU SANA na uchochezi wa namna hii unaashiria udhaifu na jazba, think before you scribe, shame upon any instigation agent!