Kakubilo Kasota
Senior Member
- Mar 14, 2012
- 166
- 56
Ngoja niwaeleze walimu nguvu yenu mlionayo while you don't know; mwanzoni mwa miaka ya 90 nilikuwa nasoma secondary, i mean "O" level, nakumbuka kwenye uchaguzi wa rais na ubunge (rais tulikuwa tunapambanishwa na kivuri, mliokuwepo enzi hizo mnakumbuka), bwana Josephat Mungai alipambana na bwana mmoja namkumbuka kwa jina 1 tu, alikuwa anaitwa Mpiluka, nadhani alikuwa anafanya kazi CRDB (wakati huo ilikuwa ikimilikwa na Wakulima), bwana Mungai aliyafanya vizuri sana katika sekta ya Elimu, kule kwao Mufindi (kumbukeni pia enzi hizo kulikuwa hakuna majimbo ya ucgauzi, kila wilaya na mbunge wake, sio kama leo, wilaya 1 inaweza kuwa na wabunge hadi 4, full ufisadi) aliweka shule za sekondari kila tarafa na aliziwekea mawasiliano ya radio calls (hiyo ndo technolgy iliyokuwepo) hizi shule ziitwa za wazazi, mkewe Mungai alikuwa ndiye afisa elimu wa Wilaya, huyu mama alikuwa na jeuri ya ajabu, walimu walipokuwa na shida yeyote kwake, uwe mwanaume au mwanamke, lazima akuchefue roho kwa maneno yake, Sophia Simba hamfiki, sasa kwenye uchaguzi mwaka huo, walimu walikubaliana wang'oe mzizi, hilo ndio neno walilokuwa wakilitumia hizo enzi, kila vijiwe vya pombe (Ulanzi na komoni, sometimes Kangara) topic ilikuwa hiyo tu, kweli Mungai aling'olewa kwenye Ubunge, wazee wa Mafinga, hasa Malangali, mahali alipokulia huyu bwana walimwita kijana wao na kumwambia nini kilichomtokea, aliambia na hao wazee aende aka mdisplini mkewe, kweli mwaka 1995 Mungai alirudi tena, kumbuka amekuwa Mbunge wa huko since 1970, point yangu hapa nataka niwaambie walimu, wanayo nguvu kubwa sana kama wakiamua, wao ndo wanashughulikia kila kitu kinachohitaji man power kubwa katika nchi hii, kusimamia Kura, kuhesabu watu (sensor) kila kitu kinachohitaji manpower kubwa hapa nchini is Walimu, hawa wanaouwezo hata wa kuitoa ccm ikulu, issue tu, waweke uamuzi basi!
Migogoro hii walimu mnajitakia tu, mkiamua 2015 ccm bye bye!
Migogoro hii walimu mnajitakia tu, mkiamua 2015 ccm bye bye!