Walimu wa shule za msingi ndio kiboko ya serikali

kauzu

Member
Oct 4, 2010
74
3
Walimu wa shule za msingi wameonekana ni waoga sana katika kutetea haki zao,lakini makucha yao yameonekana kwa 30% ya wanafunzi waliojiunga sekondari hawawezi kusoma na kuandika.Serikali iwe makini kwani baada ya ongezeko la ujinga litaendelea kwa kasi kubwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom