Walimu wa mazoezi kero katika mahusiano

Kwa sasa na mimi ni mwalimu wa mazoezi, nimefungua fitness centre mtaani, wadada jitokezeni kwa wingi!
 
duh.... yametokea ila inataka moyo kweli kushudia jinsi walimu hawa wamazoezi jinsi wanavyowafanyisha mazoezi hawa wake, na dada zetu.
mimi nimeamua kumpiga stop wife... mazoezi ni hapa hapa home....

Umefunga mjadala.

Kati ya vitu ambavyo wanawake wengi hawapendi ni kushikwa na mwanaume yeyote tu sehemu kadhaa za mwili kama miguu, mapaja, nyonga, mabega na makalio. Baada ya kufanya aerobics huwa wanamaliza na kitu zinaitwa "stretching". Wanalala chini na kujipanua. Mwalimu anakuja kuwasaidia ili wafanye hiyo stretching inavotakikana na kwa sababu ya ugumu wake, ndipo walimu hawa wenye mikono yenye nguvu huweza kuwashika akina dada sehemu ambazo kumbe hushikwa na wapenzi wao!! Ni hapo wanadada huanza kuwaamini waalimu na hata kulinganisha ushikaji wa nyenzo kati ya mwalimu na mpenzi!!

Mwanamke yeyote anayejiheshimu humpenda mwanaume kimapenzi baada ya kumwamini. Ni uaminifu huu kwa mwalimu na contact za kimwili ndio husababisha hisia za kimapenzi.

Gynasium nyingi zimetengenezwa na faragha kwa wanawake hivo kama mwalimu anamtaka mdada, si jambo gumu kwani hiyo kumshika ******, mapaja na miguu na kumkunja itafanyika mwanamke akiamini haonekani na ni sehemu ya mazoezi. Ni hapo mdada ataanza kupenda baadhi ya mikunjo na kuitamani.

Lakini sehemu kubwa ya ufedhuli, hufanywa na kukosa uaminifu. Si kwa mwalimu tu, bali hata kwa mwanafunzi.
 
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!


I will be right back soon!!
 
Umefunga mjadala.

Kati ya vitu ambavyo wanawake wengi hawapendi ni kushikwa na mwanaume yeyote tu sehemu kadhaa za mwili kama miguu, mapaja, nyonga, mabega na makalio. Baada ya kufanya aerobics huwa wanamaliza na kitu zinaitwa "stretching". Wanalala chini na kujipanua. Mwalimu anakuja kuwasaidia ili wafanye hiyo stretching inavotakikana na kwa sababu ya ugumu wake, ndipo walimu hawa wenye mikono yenye nguvu huweza kuwashika akina dada sehemu ambazo kumbe hushikwa na wapenzi wao!! Ni hapo wanadada huanza kuwaamini waalimu na hata kulinganisha ushikaji wa nyenzo kati ya mwalimu na mpenzi!!

Mwanamke yeyote anayejiheshimu humpenda mwanaume kimapenzi baada ya kumwamini. Ni uaminifu huu kwa mwalimu na contact za kimwili ndio husababisha hisia za kimapenzi.

Gynasium nyingi zimetengenezwa na faragha kwa wanawake hivo kama mwalimu anamtaka mdada, si jambo gumu kwani hiyo kumshika ******, mapaja na miguu na kumkunja itafanyika mwanamke akiamini haonekani na ni sehemu ya mazoezi. Ni hapo mdada ataanza kupenda baadhi ya mikunjo na kuitamani.

Lakini sehemu kubwa ya ufedhuli, hufanywa na kukosa uaminifu. Si kwa mwalimu tu, bali hata kwa mwanafunzi.

Mkuu uwezowako wa kufikiri, kuchambua mambo ni mkubwa, nimependa mchango wako. Asante!
 
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!

Hawa walimu mnalaumu bure tu. Akikuomba mzigo ukikataa atakuua?
 
Glory umesema vyema!
Utawalaumu waalimu wa gym, waosha miguu na wapaka kucha rangi, wauza mitumba na handbags, wauza nyama, wauza genge na taxi drivers?

Mkuu Gagurito, kwanza gym sehemu ya kubadilishia nguo ina ya wanawake na wanaume, na kuna mabafu pia. Na huko nimeshuhudia wanawake wasio na tatizo na privacy yao wanavyojiachia na kukaa utupu. M'baba hawezi kuchungulia manake rolling eyes zitamletea makengeza. Isitoshe mwalimu hawezi kupata privacy hiyo ya kubanjuka na mteja kwenye bafu sio la wanawake wala wanaume unless ni same sex nae!

Nimejifunza hii, mwanamke awe mzuri ama mbaya, atatakwa kila aendapo. Na mtakaji anaangalia response. Usilaumu gym, laumu mkeo. Kama ambavyo mie silaumu kona bar, namlaumu la'aziz wangu
 
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!

Hivi issue hapa ni wake za watu kutoka nje ya ndoa au huyo mwalimu kuwapa dose? Kwa taarifa yako wanawake pia uvutiwa na physique ya mwanaume hasa kifua cha haja na zile six pack, kama mwalimu yuko hivi na waume zao wamevimbiana kama chatu kameza mbuzi unategemea nini kitokee!

Pia una uhakika kuwa wanawake hao wote wameolewa au ndio wale wafanyabiashara wa Dubai na China?
 
Ahh kama ndo hivyo inabidi nimuondoe mpenzi wangu kwenye ile GYM...... ,maana anaipenda kweli na akiwa anenda huko anajipodoa sana sijui kama atakuwa kasalimika.
 
sio hawa tu mkuu, kuna waalimu wa tuisheni, wafanyakazi wa ndani wa kiume, ni mlolongo mrefu..tatizo ni nini?? tamaa kwa wenza na pia ugumu wa maisha..hawa jamaa wanakaa kimitego sana kwani wanajua kuwa kumpata mwanamke mwenye uwezo ndio utakuwa mwanzo wamaisha mazuri..huwaga nawasikia sana wakizungumza maneno kama hayo..kwahiyo wao ndio huwa wa kwanza kuweka mitego kwa mtu wanayemuona kuwa atawatoa kwenye matatizo yao
 
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!
S
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!
Sisi walimj was mazoezi tuna pata changa moto nyingi sana lakini kama MTU hutambui mile unacho kifanya hakika lazima kuharibu kazi yako
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom