Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duh.... yametokea ila inataka moyo kweli kushudia jinsi walimu hawa wamazoezi jinsi wanavyowafanyisha mazoezi hawa wake, na dada zetu.
mimi nimeamua kumpiga stop wife... mazoezi ni hapa hapa home....
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!
Umefunga mjadala.
Kati ya vitu ambavyo wanawake wengi hawapendi ni kushikwa na mwanaume yeyote tu sehemu kadhaa za mwili kama miguu, mapaja, nyonga, mabega na makalio. Baada ya kufanya aerobics huwa wanamaliza na kitu zinaitwa "stretching". Wanalala chini na kujipanua. Mwalimu anakuja kuwasaidia ili wafanye hiyo stretching inavotakikana na kwa sababu ya ugumu wake, ndipo walimu hawa wenye mikono yenye nguvu huweza kuwashika akina dada sehemu ambazo kumbe hushikwa na wapenzi wao!! Ni hapo wanadada huanza kuwaamini waalimu na hata kulinganisha ushikaji wa nyenzo kati ya mwalimu na mpenzi!!
Mwanamke yeyote anayejiheshimu humpenda mwanaume kimapenzi baada ya kumwamini. Ni uaminifu huu kwa mwalimu na contact za kimwili ndio husababisha hisia za kimapenzi.
Gynasium nyingi zimetengenezwa na faragha kwa wanawake hivo kama mwalimu anamtaka mdada, si jambo gumu kwani hiyo kumshika ******, mapaja na miguu na kumkunja itafanyika mwanamke akiamini haonekani na ni sehemu ya mazoezi. Ni hapo mdada ataanza kupenda baadhi ya mikunjo na kuitamani.
Lakini sehemu kubwa ya ufedhuli, hufanywa na kukosa uaminifu. Si kwa mwalimu tu, bali hata kwa mwanafunzi.
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!
Kifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!
SKifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!
Sisi walimj was mazoezi tuna pata changa moto nyingi sana lakini kama MTU hutambui mile unacho kifanya hakika lazima kuharibu kazi yakoKifupi huwa sipendi kuzungumzia tetesi ama maisha ya watu directly. Lakini kwa hili, kwa leo naomba mnisamehe kwa haya nilitakayoyasema.
Leo hapa mtaani kwetu majira ya jioni kumetokea timbwili kubwa pasipo mfano, ilikuwa ni tetesi bt leo kwa macho yetu tumeshudia wenyewe. Je mnataka kujua ilikuaje?
Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kwa mara nyakati za jioni (baada ya muda wa kazi kwa siku za kuanzia j3-ijumaa) na zaid siku za wikiend, kimsingi gym hii ipo ktk mazingira mazuri then huduma yake si haba, wafanyakazi wake ni wakarimu pia imesheheni walimu wazuri wenye kujua nin walifanyalo pindi wawahudumiapo wateja wao.
Kumekuwapo na tetesi kuwa mmoja wa walimu hao amekuwa akijihusisha/mahusiano ya kimapenzi na wateja wa kike mara kwa mara na tofauti muda tu wanapojiunga na kituo hicho, kwa kuwa wengi ya wateja wajao hapa wametokea/wapo safi kiuchumi hii imemfanya mwalimu huyu kuchukulia mahusiano haya km kitega uchumi, amekuwa akitembea na wake wa watu na kutumia vitu vyao km vile magari pasipo aibu wala uwoga wowote!
Kama waswahili wasemavyo siku ya mwizi ni arobaini, kumbuka hakuna siri ktk mapenzi, waswahili wamemfikishia bwana juu ya matendo ya mkewe na huyo mwalimu wa mazoezi, wamempa ratiba na mchakato mzima ile mwanzo mwisho, mke kama kawaida kaaga anaenda zoezi, mume pasipo onyesha mshituko wala wasiwasi kamkubalia, kaenda gym. Mke katangulia, baada ya muda bwana kamfuata kwa nyuma, kafika gym hamwoni pale pa siku zote, kwa kuwa si mgeni kaingia vyumba vya ndani vya kuchangea nguo napo kamkosa, kaamua kwenda bafuni, kahamaki kumkuta mke na mwalimu wa mazoezi wakifanya mambo, bwana kumbuka kajiandaa vya kutosha, kakasirika kawatoa nje km walivyo zaliwa, kawapakia kwenye gari kawapeleka kituoni. Huku nyuma kaacha gumzo. KILICHONIFANYA HASWA NILETE thread hii humu tofauti na kutoa habari ni pamoja na kutaka kuwaonyesha ni kwa kiasi gani hawa walimu wa mazoezi walivyokua mwiba katika mahusiano ya mapendanao, sijui ni kwa nini haswa bt hawa watu ni hatari, nadhani kuna kilasababu ya kuwakemea na kuchunga wapenzi zetu.K WA WALE mnaofahamu na mlio na ukaribu na hawa watu JE MWAWEZA KUTUGUSIA MBINU WATUMIAZO WATU HAWA KUDAKA WAKE/WACHUMBA/WAPENZI AU DADA ZA WATU? Nijuavyo mimi ni kuwa hawa WALIMU WA MAZOEZI NI JANGA LA KUEPUKA KATIKA MAHUSIANO, NI HATARI SANA, TUWATAFUTIE DAWA!