jambo japhet
Member
- Mar 5, 2011
- 17
- 0
waungwana naomba kwa mwenye habari ya kuaminika anisaidie kunijulisha juu ya ajira kwa walimu wa sekondary ni lini? Pia naomba mwenye kuweza nisaidia kupata shule ya kufundisha hapa mjini anisaidie contact ili ni apply kwani nimemaliza shahada ya ualimu mwezi july mpaka sasa sijapata kazi, Binafsi ni mwalimu wa kingereza (English 4 both o level and a level) na general studies au civics. jamani tusaidiane kwa hili.