Walimu tunarudi kazini lakini.........

kiukweli WATZ tumezubaa,tunashindwa kuwaunga mkono hawa watu muhimu kwetu madaktari na walimu tunabaki kulalamika elimu imeshuka ooo mara nimechomwa sindano ya kipindupindu wakati nnamalaria,Tutajiju na ushamba wetu
 
Hapa naona shule na elimu kwa kayumba inaishia hapa make waalimu watafika wasaini daftari ksha kwenye ishu zao

Poleni wanafunzi wa Tz make ndo kwanza hoooo zitaanza kuzalishwa mpaka Ndalichako ashangae
 
Hizi nazo akili. Hivi kila taaluma wakiamua kuwasaidia watu wanaowajua tutafika kweli. Na una uhakika gani kwamba wazazi wote wa wanafunzi waliwapigia kura viongozi waliopo. Mbona inajulikana kwamba walimu ndo huwa mnasimamia masuala ya uchaguzi kwa kiasi kikubwa. Hivi mkifanya hujuma kwenye elimu mnalenga kumkomoa nani hasa, labda kuweni wazi.
 
kama kuna wakati serikali yetu imelikoroga basi ni sasa, na kama hawaamini basi wasubiri, watoto hawatafundishwa, lakini ubaya wa serikali unatakiwa kusambazwa popote Tanzania ili iwe rahisi kuiondoa serikali dhalimu isiyojali watu wake. Tuungane kama tulivyoungana ili kieleweke.

Huu sasa ni uchochezi!!
ukishinda/shindwa kesi sharti
ukubali au ukate rufaa.
 
Kutumia nguvu kutatua matatizo ya kielimu matokeo yake ni mwanafunzi kushinda mtihani wa kujiunga na elimu ya sekondari bila kujua kusoma, kuandika na kuhesabu!
 
kweli ndo mana walimu mnadharaulika! kama elimu yenyewe ndo imekufikisha hapa! poor teacher! kale vumbi.
umeongea pumba!! nadhan mawazo yako haya mantiki..angalia unachoongea kabla ya kuropoka....kumbuka hawa ndo walio kufundisha mpaka hapo ulipo!!!
 
Ivi ndio kweli huu mgomo moto unapita bila chochote?,, hebu jk na shukuru kawa'mbwa' acheni ujinga. Kisa hamna wanafunzi shule za kata, ila izi shule zitageuka kama chui kwa kondoo kwa viongozi ccm na familia zao.
 
Huu ndio wakati wa anguko la Serikali, tusubiri tuone mengi yaja. Inafikia mpaka mtoto anaeandamana kutaka haki yake ya elimu anashikiwa mtutu wa bunduki tena AK 47. balaa tupu. jahazi linayumba wimbi limezidi lazima tuzame na maboya yenyewe hayatoshi. wajameni!!!!!!!!!
 
ops, Jamani Waalimu Me naamini serikali haiwezi kuwaacha hivi hivi, LAZIMA WATAWAONGEZEA MSHAHARA KWANI WANGESEMA WANAWAKUBALIA NA SISI WENGINE TUNGEANDAMANA...kWANI MAISHA NI MAGUMU KOTE NDUGU ZANGU, MSIPOWAFUNDISHA WATOTO WA WAKULIMA KIZAZI CHENU KITAKUJA KUJUTA NA UVAMIZI WA JAMBAZI....ME NIISHIE FORM FOUR HALAFU WENGINE WAENDELEE MBELE TUTAONANA MTAANI, MGUU WAKO MGUU WANGU
 
umeongea pumba!! nadhan mawazo yako haya mantiki..angalia unachoongea kabla ya kuropoka....kumbuka hawa ndo walio kufundisha mpaka hapo ulipo!!!

wewe ndo umeongea uchafu! na umekurupuka! we unajua tumeanzaje kujibizana na huyo jamaa mpaka nikafikia statement hiyo uliyo i comment wewe! kumbe na wewe mgonjwa wa akili! iyo statement sijaitoa tu from no where ni kutokana na majibizano na huyo mwalimu nikagundua hana akili kama wewe! ndo mana nikamwambia ivo! kama na wewe ni mwalimu basi inznizidishia kujua kwa nini walimu mnadharaulika mbwiga wewe! ukiona statement ya mtu sikunyingine ikwa ime quote usikurupuke tu kuijaji kabla hujajua mtiririko wake! kibwaya wewe! kale vumbi na wewe.
 
..kwa kweli sasa kazi tunayo >>>>we have 3 years to GO, Serikali inatumia mahakama ku-survive? - Hii ni hatari kweli kweli.
 
Sina cha kuongea sana
528574_434967479879912_1481734440_a.jpg
 
wewe ndo umeongea uchafu! na umekurupuka! we unajua tumeanzaje kujibizana na huyo jamaa mpaka nikafikia statement hiyo uliyo i comment wewe! kumbe na wewe mgonjwa wa akili! iyo statement sijaitoa tu from no where ni kutokana na majibizano na huyo mwalimu nikagundua hana akili kama wewe! ndo mana nikamwambia ivo! kama na wewe ni mwalimu basi inznizidishia kujua kwa nini walimu mnadharaulika mbwiga wewe! ukiona statement ya mtu sikunyingine ikwa ime quote usikurupuke tu kuijaji kabla hujajua mtiririko wake! kibwaya wewe! kale vumbi na wewe.
aise una ujumbe mzuri lakin uko too emotional!!! usitumie feelings ktk kureact kwan hiyo si busara.. A WISE MAN IS ALWAYS CONTROLLED BY HIS INTELECT..NOT FEELINGS BRO!!! hpe u understud!!!
 
Back
Top Bottom