Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
Walimu nanyi jipangeni wiki ijayo mgomo hakuna njia nyingine ya kudai haki UMOJA ndo UKOMBOZI igeni ya madaktari.Bravo madaktari haki huwezi ipata hivihivi pambaneni.Bungeni wabunge CCM kimya hawalaani wala hawasemi kitu hongera CDM na CUF kwa kulaani.Tamko la waziri mkuu linalengo lakuwatisha madaktari na walimu so msitishike.