Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,799
- 59,263
Bonge la musumali hili we lizy?
Hehehhehe....ndo ukweli bana Kokudo.....yani watu wanataka kuoa kazi za watu sijui ili iweje!!!!
Bonge la musumali hili we lizy?
Afadhali umemalizia Lizzy
Wanachosha kweli mpendwa.....utadhani kazi ndo inayomtambulisha mtu!!
Wanachosha kidogo hawafai kabisa eti kazi, dini, kabila na mengine kibao
Alafu hao hao wakijagundua kazi sio mtu watakua wa kwanza kulia kwamba walimu na manesi hawafai!!!
Wadau nashukuri kwa michango yenu, mliokwazika na swali hasa kina mama poleni.
Kumbuka kuuliza si ujinga anayeuliza anataka kujua.
Wadau nashukuri kwa michango yenu, mliokwazika na swali hasa kina mama poleni.
Kumbuka kuuliza si ujinga anayeuliza anataka kujua.
Kuuliza sio ujinga ila maswali mengine ni ya kijinga!!!
Wajinga huchukulia kila swali kuwa ni la kijinga kama ulivolichukulia wewe.:lol:
Wadau nashukuri kwa michango yenu, mliokwazika na swali hasa kina mama poleni.
Kumbuka kuuliza si ujinga anayeuliza anataka kujua.
Mjinga hawezi kutambua ujinga!!!Ni sawa na kumuuliza kipofu rangi nyekundu ilivyo!!
Mjinga hawezi kutambua ujinga!!!Ni sawa na kumuuliza kipofu rangi nyekundu ilivyo!!
Hiyo bold ni busara umetumia
enzi za mwalimu ndio tulikuwa na imani hizo
Yeah nimeona kuna watu swali limewakwaza bila kujua kwa nini nimeuliza.