Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
Wandugu salamu,
Katika pitapita yangu nimekutana na hii.
ETI MWAKA HUU TUME YA UCHAGUZI HAITATUMIA WAALIMU KUSIMAMIA UCHAGUZI!
Je haya ni ya kweli? Na kama ni ya kweli, Je ni kuthibitisha kuwa bifu kati ya serekali ya JK na wafanyakazi inaendelea? Je JK anaogopa kuhujumiwa na waalimu?
Miaka nenda rudi tulizoea kuona serekali ikitumia nguvu kazi hii.
Ni nini mtizamo wako kuhusu hili?
Katika pitapita yangu nimekutana na hii.
ETI MWAKA HUU TUME YA UCHAGUZI HAITATUMIA WAALIMU KUSIMAMIA UCHAGUZI!
Je haya ni ya kweli? Na kama ni ya kweli, Je ni kuthibitisha kuwa bifu kati ya serekali ya JK na wafanyakazi inaendelea? Je JK anaogopa kuhujumiwa na waalimu?
Miaka nenda rudi tulizoea kuona serekali ikitumia nguvu kazi hii.
Ni nini mtizamo wako kuhusu hili?