Alexism
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 3,423
- 2,045
Walimu mliojiriwa Feb 2011 bila shaka wapo ambao mpaka sasa madai yenu ya mizigo,nauri,kujikimu na wategemezi na kama kuna ambao mmelipwa basi tupeane taharifa.
Nasema hivyo kwani kuna baadhi ya shule walimu wazamane aka wakongwe wamejaza form za madai lakini wapya hawakupewa hizo form.Serikali ilihadi kulipa madeni yote mwezi jana lakini mpaka leo walimu bado hawajalipwa ingawa mwanzoni walimu mlionesha msimamo kudai staili zenu sasa sijui mmekuwa je?
Nasema hivyo kwani kuna baadhi ya shule walimu wazamane aka wakongwe wamejaza form za madai lakini wapya hawakupewa hizo form.Serikali ilihadi kulipa madeni yote mwezi jana lakini mpaka leo walimu bado hawajalipwa ingawa mwanzoni walimu mlionesha msimamo kudai staili zenu sasa sijui mmekuwa je?