Ni jambo la kuhuzunisha sana kuona serikali yenye kulipa visasi na kuwaadhibu wale wote wanaothubutu kusema ukweli ama kudai haki zao za msingi.
Hili linadhibitishwa na matukio mawili makubwa yaliyofatana,nayo ni mgomo wa madaktari na mgomo wa walimu.kwenye mgomo wa madaktari serikali inahisiwa kumuadhibu kiongozi wa mgomo kinyama(dk ulimboka) na kuwasimamisha kazi madaktari wengi. Na tukio la pili ni pale serikali kupitia wakuu wa wilaya kuwaadhibu waalimu wote walioshiriki mgomo kwa kuwaondoa katika zoezi la sensa.
Je hii maana yake ni nini.
1.serikali inaonesha dhahili kuwa yenyewe ndio chanzo cha migogoro na fujo
2.serikali imesahau kuwa, hii ni serikali ya wananchi na si serikali ya viongozi
3.serikali inaonyesha kutokuwa makini ktk kila jambo pale wanapowachukua vijana waliomaliza kidato cha nne na sita na wengine ambao bado ni wanafunzi mashleni na madereva bodaboda kuhesabu watu na makazi
4.wameweka chuki na visasi mbele kuliko kuangalia uyakinifu na unyeti wa zoezi lenyewe na hasara itakayopatika kama kazi hii itaharibika.
Mimi napenda kuhoji, hivi kikwete upo macho au umelala? Na unachotegemea ni nni.
Kweli wananchi tumechoka.
Kwa hali hii ni nni kinachotufanya tusiamini kama serikali imehusika na kumteka na kumtendea mambo ya kinyama dk ulimboka?
Hili linadhibitishwa na matukio mawili makubwa yaliyofatana,nayo ni mgomo wa madaktari na mgomo wa walimu.kwenye mgomo wa madaktari serikali inahisiwa kumuadhibu kiongozi wa mgomo kinyama(dk ulimboka) na kuwasimamisha kazi madaktari wengi. Na tukio la pili ni pale serikali kupitia wakuu wa wilaya kuwaadhibu waalimu wote walioshiriki mgomo kwa kuwaondoa katika zoezi la sensa.
Je hii maana yake ni nini.
1.serikali inaonesha dhahili kuwa yenyewe ndio chanzo cha migogoro na fujo
2.serikali imesahau kuwa, hii ni serikali ya wananchi na si serikali ya viongozi
3.serikali inaonyesha kutokuwa makini ktk kila jambo pale wanapowachukua vijana waliomaliza kidato cha nne na sita na wengine ambao bado ni wanafunzi mashleni na madereva bodaboda kuhesabu watu na makazi
4.wameweka chuki na visasi mbele kuliko kuangalia uyakinifu na unyeti wa zoezi lenyewe na hasara itakayopatika kama kazi hii itaharibika.
Mimi napenda kuhoji, hivi kikwete upo macho au umelala? Na unachotegemea ni nni.
Kweli wananchi tumechoka.
Kwa hali hii ni nni kinachotufanya tusiamini kama serikali imehusika na kumteka na kumtendea mambo ya kinyama dk ulimboka?