CHUNDABADI
Member
- Oct 5, 2012
- 49
- 7
Epukeni huyu Tapeli Jamani waalimu wenzangu anatumia namba hii 0693178826.Anajifanya anaweza kukuconect na watu wa Tamisemi kumbe lengo akupige Hela.Uhamisho wa Uhakika na Salama ni wakubadilishana.
Sio kweli,kuna mwalimu Wa kiume alimfuata mke wake nilishuhudia kabisa inawezekanapole mkuu. sasa wewe ndiyo umeolewa au umeowa?. kitanzania mke ndiyo anamfata mme wake sahemu yoyote anapo fanya kazi, pia serikali inalitambuwa ilo sasa kwako ikoje hii issue?
Njoo Geuta mkuu nije LushotoNjoo lushoto mlalo nije kilimanjaro au arusha idara secondari mawasiliano 0753983236 0658460160
*Njoo Tabora -Uyui, nije Rukwa au Katavi idara ya Msingi.
0787-145922
0767-145922