Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
hii shule kila mwaka hutoa matokeo mabaya na hii inatokana na shule hii kufundisha sylabus ya uganda.....halafu mwisho wa siku
wanafanya mitihani necta......hivi unafikili matokeo yake yatakuwa vipi.....halafu mwalimu mkuu wao anaitwa mr.kiddu huyu jamaa ni
mganda .........mama lwakatare wafukuze asipokuwa makini atafilisika kwani wazazi wengi wameshaanza kutoa watoto wao
source.....mimi mwenyewe nilisomaga form 2 na 3...............lwakatare kuwa makini
wanafanya mitihani necta......hivi unafikili matokeo yake yatakuwa vipi.....halafu mwalimu mkuu wao anaitwa mr.kiddu huyu jamaa ni
mganda .........mama lwakatare wafukuze asipokuwa makini atafilisika kwani wazazi wengi wameshaanza kutoa watoto wao
source.....mimi mwenyewe nilisomaga form 2 na 3...............lwakatare kuwa makini