Walimu igeni haya kutoka kwa madaktari

Sera ya elimu iliyoziduliwa 2014 inasema kiswahili kitatumika kama lugha ya kufundishia kuanzia msingi hadi chuo.
Na kingeleza kitatumika kama lugha ya kigeni na kitafundishwa kama somo na sio lugha ya kujifunzia.
Mkuu hakuna mahali sera.inaposema kingereza kitatumika kama lugha ya kigeni. Sera inasema kingereza kitaendelea kutumika kama lugha ya kufundishia na kujifunzia kwa ngazi.nzote kuanzia msingi hadi chuo kikuu. Nakushauri uipitie tena mkuu
 
Tuna misingi mibovu ya Elimu hiyo lugha haimaanishi kwamba walimu hawaimudu tatizo lipo kwa wanafunzi asilimia kubwa ya wanafunzi kwa kweli kingereza ni shida na si tu speaking skills hata skills nyingine mfano listening, writing na reading bado ni tatizo kufaulu kwa mtoto si kuongea kingereza tu kuna skills nyingine hapo ambazo mtoto lazima azimudu sasa swala la mwalimu awe frequently in English unafikili watoto watakuelewa mtoto katoka na kiswahili primary then aje kumudu kingereza miaka 4 haiwezekani, na ndo mana kujua kuongea vizuri kingereza si kufaulu ila ni muhimu kufahamu, tukitaka kuboresha yote hayo basi lugha ya mawasiliano na ya kufundishia iwe moja toka chekechea hadi chuo kikuu.
 
Back
Top Bottom