NG'OMBE
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 362
- 80
Mimi naamini walimu walishagoma siku nyingi, ila kwa vile serikali ni dhaifu haioni, inajifariji hakuna mgomo. Hivi mtu mzima na akili yako timamu unaanza kuhoji eti kwa nini watoto wamejiunga form one hawajui kusoma wala kuandika. Wakati jibu liko wasi "hakufundishwa ndiyo maana hajui" sasa unaanza kuunda tume eti ichunguze sababu, huo ni puuzi mtupu wa serikali dhaifu. Walimu walishapuuzwa na serikali hadi wameshachoka. Ushauli wangu ni kwamba, endeleeni na utalatibu huo hadi siku moja tupate form four amemaliza hajui kusoma na kuandika, Labda ndiyo serikali itawajali.