Kwa walimu waliopata ajira mpya wilaya ya hai kilimanjaro 2015 + hata wale waliopo toka muda , naomba tuwasiliane mana nami nimepangwa huko ila nimekumbwa na matatizo hivyo nazan naweza pata msaada toka kwenu.
Nilienda kurpot ila had leo napgwa kalenda 2 ya kwenda ktuon wanadai nisubrie pesa kama zkja toka hazna wakat post n yang na jna lpo pale.
Nilienda kurpot ila had leo napgwa kalenda 2 ya kwenda ktuon wanadai nisubrie pesa kama zkja toka hazna wakat post n yang na jna lpo pale.