Walimu 40 katika wilaya ya sumbawanga 'wameingia mitini' huku wengine 50 wakiingia kwenye mgomo usio na kikomo wakiishinikiza halmashauri kuwalipa mishahara pamoja na madai mbalimbali wanayodai kwa zaidi ya miezi mitatu sasa. Jamani wenye dhamana uko serikalini timizeni wajibu wenu. Tuache kuwa wabinafsi.