jitu la kale
Member
- Dec 29, 2010
- 77
- 18
Wakati serikali ikikiri kuwa kuna ubungufu wa walimu nchini, walimu waliohitimu stashahada na shahada mwaka jana mwezi 5 na 6 bado hawajapatiwa ajira zao,kwa kawaida uchukua miezi miwili hadi mitatu kuajiriwa na kupangiwa vituo vyao lakn kwa mwaka huu imekuwa tofauti.Pamoja na C.W.T kuthibitisha kuwepo kwa hali hiyo ambayo imesemekana kutokana na serikali kuwa kimya na kuficha ukweli kwamba haina pesa,yamkini serikali imepitisha bajeti ya walimu hao wapya tangu juni 2010 bado wanaangaika mtaani na wengine kukimbilia ajira binafsi na ngo's. Source mwananchi ya tarehe 29/12/10,na 4/01/11