Mpe pole basi...hahahaaaaaaaaaaaaaaa
it tells a lot about what is in your brains
umekaa kichupi-chupi tu
tehe tehe...photosjop are made not born......kwa hili kwa kweli imebidi niweke photoshop.........
tatizo ni kuwa walidhani kuwa wao ndio walikuwa na haki ya kushindaTIMING na wana Liver wenzangu poleni sana kwa kukosa kombe lenye hadhi kubwa sana Uingereza..............The Blues wote Hongereni.....Football is just a fair deal....
Haya Mpita Njia,nimeshakupa hongera ...pita na hamsini zako sasa naona umeganda tu.............Hongera tena, kesho wana Liver wanaamdamana kudai sensor ya goli linapokua GOLI......kulikua na ashiria ya mbeleko goli la Carolina.....tatizo ni kuwa walidhani kuwa wao ndio walikuwa na haki ya kushinda
Madamex una uhakika na UNACHOKINENA??