Kwa kweli hali ya maisha imekuwa ngumu sana. Mafuta ya taa shs 2040, petrol shs 2100, dizel shs 2100. Sijaelewa lengo lilikuwa kuwaongezea kipato hawa matajiri au kipi? Mafuta ya taa yalipanda mara tu bajeti iliposomwa, petrol dizel hazishuki. Sisi tunaumia sana, inachosha sana ndugu zangu.