Wamekutwa wanakunywa pombe za kienyeji wakati wa kazi....sasa wanaelezewa...mmoja anajifanya yuko busy anachukua notice ha
hivyo ni kosa? Mbona Dar es salaam ni kinywaji masaa 24? Au hii sheria inahusu pombe za kienyeji tu?
Huyo anayeandika ni Katibu Mtendaji wa kijiji(VEO)!...Huyo mama aliyevaa t-shirt ya njano na kijani imeandikwa maneno gani eti?
Maswali ya maana sana mkuu.eti? wanakunywa pombe mida ya kazi? kazi gani?... hao wananchi hapo wana kazi kweli? na ni nani kawaajiri?
but n\serikali inavyofanya ni vema
hivyo ni kosa? Mbona Dar es salaam ni kinywaji masaa 24? Au hii sheria inahusu pombe za kienyeji tu?
Hawa nao hawapo maeneo yao ya uwajibikaji wanachofanya ni kushangaa ndege Rais.
View attachment 48740