Jamani wanalugalo sec mpo? Nakumbuka enzi hizo za akina Jagafus, akina Chips nk. Ebu tukumbukane jamani japo wengi ni RIP kama Ester Makingi. Hebu kama mpo hebu jitokezeni basi.
Wale waliosoma miaka ya 80 mpk 90 kwani wewe ulisoma mwaka gani?
kumbe bado tupo. Mi nimemaliza mwaka 1986. Nilitaka kujua kama nani yuko wapi. Kumbe na sisi wamo.Mimi nilisoma 1985
Mimi nimemaliza 1986.Na hiyo jagafus nawakumbukeni sana,yaani Jane,Grace na Flora.Enzi zenu mlikuwa kiboko ya Mangula a.k.a cocroach.Jamani wanalugalo sec mpo? Nakumbuka enzi hizo za akina Jagafus, akina Chips nk. Ebu tukumbukane jamani japo wengi ni RIP kama Ester Makingi. Hebu kama mpo hebu jitokezeni basi.
Ha ha ha ha ha. Uko wapi ndugu yangu. Cocroach sasa hivi yuko Kyela ni katibu wa cwt.Mimi nimemaliza 1986.Na hiyo jagafus nawakumbukeni sana,yaani Jane,Grace na Flora.Enzi zenu mlikuwa kiboko ya Mangula a.k.a cocroach.
Ha ha ha ha ha. Uko wapi ndugu yangu. Cocroach sasa hivi yuko Kyela ni katibu wa cwt.
Mwalimu Materu,Lulandala,Chaula,moshiro,Ugulumu,kisonga,Mtavangu,Hongoli,Ambindwile.Msasimela,Mwasamila,Mama Lambo,MamaMwaisaka,Mwakasonda e.t.c! Wanafunzi kama Asangalwisie Henry,Frank Leonad(tyson),Iman Kasuga,Nasoro Mkwanda,Wito D'zombe,Nyambilila Amour,Juliana Mdemu,Lilian Mkulu,Merkioly Katunzi,Putila Lupogo,Aman Sindato,Edgar Kifyoga,Henry Challu,Exaud Massawe na wengine weeeengi! Jamani tutafutane popote mlipo! Hiyo ni Lugalo 1988-1991!
1983-1986 nawakumbuka wafuatao, Erasto Chipps, Faustine Kigava, Nulala Luvanga, Kalinga wa Tcra, Sixtus Kanyama,Yohana Kifaranja, Mary Mdegela huyu ndie Mrs Cocroah Mangula, Suzy Magani na wengineo naomba mameti ongezeni orodha tafadhali na ikiwezekana tuunde Saccos yetu
Da nimekumbuka mbali sana ndugu yangu. Mungu ametunusuru. Basi tulio hai na tutende mema kwa jamii inayotuzunguka. Tusiwe part of ufisadi. Binafsi bado nina mawasiliano na herieth,grace tendega, monika, vangamela et elObeid Mgina yupo Mbezi mwisho Dar es salaam. Emmanuella Lusinde yupo Mtwara.Pamoja sana wakuu.Cc; Gaudence Mbigi upoo!!
Da nimekumbuka mbali sana ndugu yangu. Mungu ametunusuru. Basi tulio hai na tutende mema kwa jamii inayotuzunguka. Tusiwe part of ufisadi. Binafsi bado nina mawasiliano na herieth,grace tendega, monika, vangamela et el
Really nakemea toka rohoni. Japo kwa Tanzania ya leo hatakiwi. Ukiwa against ufisadi basi ujue wewe hata kaa upande daraja, cheo wakipenda hata mshahara na wasingizia masa Epicor mara mfumo. Mungu atusaidie hii nchi upepo huu upite vinginevyo vizazi vijavyo watachinjana kama Somalia na other like.Big up dada Jane kama unakemea ufisadi! You must be like GRACE TENDEGA!(REAL COMMANDER). GOD BLESS YOU!