Wale wanaopigwa na kudhalilishwa katika mahusiano ni "Victims" au "Survivors"?

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,991
Ni mjadala mzito nnilikuwa na jamaa yangu mmoja ambaye anashughulikia hapa mambo ya Domestic Violence. Position zetu zilikuwa mbili tofauti moja ni kwamba huwezi kuwa survivor bila kuwa victims - you have to move from being a victim to being a survivor. Position nyingine ni kuwa ukishasalimika na mambo haya wewe siyo victims ni survivor. Je, ni wakati gani mtu anakuwa victim (mhanga) na wakati anakuwa ni survivor?
 
Kwa ufaham wangu wa kiingereza cha kimaskini cha darasa la saba cha miaka ya tisini ni kuwa mhanga ni alieathiriwa na jambo ila alieokoka hajaathiriwa na jambo au kadhia hiyo!
 
Unakuwa 'victim' pale unapopigwa na mtu aliye na power juu yako. Power inaweza kuwa katika mfumo wa kipato(inakufanya unakuwa tegemezi), nguvu(labda umeolewa/oa baunsa)

Unakuwa 'survivor' pale ampapo hali hiyo ya kipigo inaisha aidha kwa wewe mwenyewe kuchukua hatua za makusudi au natural justice inapochukua mkono.
 
Mtu anakuwa ni victim wakati akiwa ktk hizo ordeal,na anakuwa survivor hayo makasheshe yote yakimalizika na akabaki anakuwa ame-survive...
 
Lakini siku hizi taasisi nyingi za haki za binadamu na za wanawake hawtaki kutumia neno "victim" wenyewe wanasema ni politically uncorrect. Wanasema hawa siyo "victims" bali ni "survivors". Je ni vizuri kuondoa hilo la victims?
 
Lakini siku hizi taasisi nyingi za haki za binadamu na za wanawake hawtaki kutumia neno "victim" wenyewe wanasema ni politically uncorrect. Wanasema hawa siyo "victims" bali ni "survivors". Je ni vizuri kuondoa hilo la victims?

hizi taasisi nazo
zinashiriki kwenye 'abuse'...
ku deny mtu kuwa sio 'victim'
na anahitaji 'tiba' maalum ni kumuongezea matatizo...
 
Mkuu, I think victim ni yule ambae ameshindwa kabisa kujitoa, na hata hashtukii hali yake.
Survivor ni yule ambae yuko katika hali ya kua abused but is struggling to get out of it
Everyday is a survival day, with hope that ipo siku atatoka, or she/he has gone beyond and has actually ended the violence kwa njia moja au nyingine.
The terminology was probably adopted to challenge the 'victims' ili waelewe kua a shift in mentality means a shift in situation. A victim is not in control, a survival is.
 
As long as you are still abused you are a victim. Unakuwa survivor baada ya kutoka katika hiyo arena.
So hata kama uko kwenye process ya kujikwamua bado ni victim unless umefikia mahala penye matumaini, mfano separation.
 
Survivors are the ones who have managed to break the 'circle' of abuse and gotten OUT of it...while victims are the ones who still lives IN it. Yani...one can not be a survivor while still trapped in a situation where they are not in control of the way they are being treated.
 
Survivors are the ones who have managed to break the 'circle' of abuse and gotten OUT of it...while victims are the ones who still lives IN it. Yani...one can not be a survivor while still trapped in a situation where they are not in control of the way they are being treated.
As long as you are still abused you are a victim. Unakuwa survivor baada ya kutoka katika hiyo arena.
So hata kama uko kwenye process ya kujikwamua bado ni victim unless umefikia mahala penye matumaini, mfano separation.
Lizzy, King, in the specific context of domestic violence the ones who are still abused but who have started to take measures out of it are also called 'survivors' in the jargon.
Because they want to survive, they are struggling to get out of it. they survive on a day to day basis.
 
victim wakati unakula kipondo heavy daily......

survivor kama 1. umeweza kuvumilia vipigo hadi mpigaji alipojirekebisha (hii huwa haitokeagi sana hii)
au 2. kama umeweza kujinasua/ kuachana na mtoa kipondo
 
Back
Top Bottom