mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
tuchague mchezo mmoja ,ndo itakuwa rahis,komborela,nitajificha na member mmoja hapo juu...........
ok Gilo24 twenzetu tukajifiche wote, eep:
Last edited by a moderator:
tuchague mchezo mmoja ,ndo itakuwa rahis,komborela,nitajificha na member mmoja hapo juu...........
yan mtafte mwenyew ila msijifche mbali ili tuwaone!!!!!!jamani tuchez esta esta. ila kombolela ndo mpango mzima mie ntafichama na nanii vileeee?
baba na mama haifai bora kula mbakshie mama!!Kuna anayetaka kucheza baba na mama?
Kula mbakshie baba?
yan hili jukwaa limetawaliw na football tu!!! mi naomba leo tucheze michezo mingine!! kama rede kwa girls!! tushindane kuvuta kamba!! kombolela! voolleyball, netball! na mingineyo!!
msisahau kuvaa jenzi!!
sasa leo utakamatwa na utasafa mchezo mzima maana umekutana na magwiji!!mpaka nastaafu huu mchezo wa kombolela nilikuwa nakata rekodi ya kutokamatwa hata siku moja na nilikuwa bingwa wa kubutua
hahahahha!! afu mbona asingekuja kubutua tenah!!Una bahati hukucheza na mimi wewe maana nilikuwaga najaza mchanga kwenye kopo....ukija kulibutua lazima uvunje ukucha.
we njoo tucheze kioo kioo alikivunja nani....!!Sorry 4 tresspassing!
yaaani sana!! tena nzuri kuliko zote!!:biggrin1: hivi kombolela nayo ni sports?!!
njoo tuanze na kuvuta kamba!!volleyball na badminton master niko hapa!
heeeee!!! kombolela mathematics nshakuona!!ok Gilo24 twenzetu tukajifiche wote, eep:
heeee mbona patakuwa hapatoshi!!!!bi mdogo.
mi nasubiri siku ukichedha netboli nikuone unavoruka, pia ukimaliza kucheza nkufute jasho na kukunywesha juithi..
mpaka nastaafu huu mchezo wa kombolela nilikuwa nakata rekodi ya kutokamatwa hata siku moja na nilikuwa bingwa wa kubutua
heeeeeeee!!! hlo lilikuwa komboleeeeelaaaaaaaaaaaaa!!!!!!hunishindi mimi, maana nilikua na rekodi ya kujificha na tubinti...halafu twenyewe ndio tulikua tunanizimikia,nilikuwa natupaje mambo...
volleyball na badminton master niko hapa!
heeeeeeee!!! hlo lilikuwa komboleeeeelaaaaaaaaaaaaa!!!!!!
hahahahah!! haya tafuta leo wa kujifcha nae!!hiyo ndio ilikuwa siri ya kombolela kuwa maarufu...sasa we unadhani watu wawili tu wanatafutwa masaa hadi matatu hawaonekani
hahahahah!! haya tafuta leo wa kujifcha nae!!
yan mimi ndie nnae safa!! uktaka njoo nkutaje!!unaonaje kama tukijificha wote?
yan mimi ndie nnae safa!! uktaka njoo nkutaje!!