Castle
Senior Member
- Jul 25, 2008
- 116
- 20
wale st.peter's seminary morogoro form 1990-1993
nafurahiu kuwakumbuka wenzangu tuliokuwepo wote enzi hizo wakati wa mr.bota,nyawale mr.mshiru,kinyau,mr.muhina,mr.mluge, sr.edith,sr.anna bila kumsahau rector wetu mzee bonus kizee, mr. mpeka na wengineo.
enzi hizo kulima mahindi sana, rozari na kimba masifu ya jioni na asubuhi, waliojaliwa sasa ni mapadre kama padre joseph mluge ambaye hivi sasa ni rector wa st.peter's, padre cristian likoko, padre nicolous masamba na wengine ambao siwakumbuki.
kwenda deset kununua mikate na kutoka kwenda kilakala girls kwenye disco na mengineo.
kama mpo naomba tukumbusane. pia wakati huo shule academic ilikuwa inongoza Tanzania sijui kwa sasa.
nafurahiu kuwakumbuka wenzangu tuliokuwepo wote enzi hizo wakati wa mr.bota,nyawale mr.mshiru,kinyau,mr.muhina,mr.mluge, sr.edith,sr.anna bila kumsahau rector wetu mzee bonus kizee, mr. mpeka na wengineo.
enzi hizo kulima mahindi sana, rozari na kimba masifu ya jioni na asubuhi, waliojaliwa sasa ni mapadre kama padre joseph mluge ambaye hivi sasa ni rector wa st.peter's, padre cristian likoko, padre nicolous masamba na wengine ambao siwakumbuki.
kwenda deset kununua mikate na kutoka kwenda kilakala girls kwenye disco na mengineo.
kama mpo naomba tukumbusane. pia wakati huo shule academic ilikuwa inongoza Tanzania sijui kwa sasa.