Robweme
Senior Member
- May 20, 2009
- 178
- 6
Wakuu, wale waliokuwa Sengerema Secondary miaka ya 1995-1997,mnakumbuka misemo hii:
Chaka-sehemu ya kujisaidia kichakani.
Pia mnakumbuka mwalimu katendele, alikuwa anapenda sana kuku.
Mnakumbuka mkuu wa shule anaitwa Matu, nimepata habari kuwa alisitaafu.
Mwenye mengine naomba tukumbushane, Nyamazugo road, nyampurukano tulikuwa tunafuata maji ya kunywa ya kisima.
Chaka-sehemu ya kujisaidia kichakani.
Pia mnakumbuka mwalimu katendele, alikuwa anapenda sana kuku.
Mnakumbuka mkuu wa shule anaitwa Matu, nimepata habari kuwa alisitaafu.
Mwenye mengine naomba tukumbushane, Nyamazugo road, nyampurukano tulikuwa tunafuata maji ya kunywa ya kisima.