KAUZUDAGAA
Member
- Sep 24, 2012
- 36
- 4
Wale mlochaguliwa kwenda MUCE hebu coment hapa ili niwaesabu. haya twendee..!
Dogo karibu sana Mkwawa,Ni Camp Ambalo watu wanakata shule,Chakula buku unapata,watoto wakali,walimu wazuri,wellcome to the best zone in Africa
Aisee wape kweli,kama unasoma History jiandae kukariri,utakutana na Dr Itandala,
Muce kuna babu mmoja anaitwa dr itandala kwa wale wataosoma histor mjianda kukesha mnasoma au mtaondoka na sup za kutosha, ila kwa ujumla chuo kipo poa, ulanzi pia upo wa kutosha ni wewe tu