Ramlis JF-Expert Member Aug 22, 2013 597 494 Feb 12, 2016 #21 Ulikuja unakunywa soda leo ngada unavuta- Jose mtambo
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Feb 12, 2016 Thread starter #22 Watu wengi ni fake,Duniani hakueleweki..Na unaweza kuzaliwa nyanda ukachezeshwa beki-Darasa
Ramlis JF-Expert Member Aug 22, 2013 597 494 Feb 12, 2016 #23 Kaboom said: Una beef?..Weka maji utengeneze supu maana bakuli ya mboga nyumbani kwenu ni Tupu Click to expand... Kuza uchumi wa nyumbani, vuta sigara. Unanunua kifo dukani umekuwa kafala.
Kaboom said: Una beef?..Weka maji utengeneze supu maana bakuli ya mboga nyumbani kwenu ni Tupu Click to expand... Kuza uchumi wa nyumbani, vuta sigara. Unanunua kifo dukani umekuwa kafala.
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Feb 12, 2016 Thread starter #24 MimiTena said: Kuza uchumi wa nyumbani, vuta sigara. Unanunua kifo dukani umekuwa kafala. Click to expand... Sina role model kwenye Tv show Mimi role model wangu yupo mbele ya kioo
MimiTena said: Kuza uchumi wa nyumbani, vuta sigara. Unanunua kifo dukani umekuwa kafala. Click to expand... Sina role model kwenye Tv show Mimi role model wangu yupo mbele ya kioo
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Feb 12, 2016 Thread starter #25 Mwanangu vumilia,mwanaume upata juani Sumu na sukari vyote vinauzwa dukani-Darasa
Ramlis JF-Expert Member Aug 22, 2013 597 494 Feb 12, 2016 #26 Ningekuwa na hela mashoga wangenikoma. Ningehakikisha wote wanakufa na ngoma- Mchungaji Zayumba.
Ramlis JF-Expert Member Aug 22, 2013 597 494 Feb 12, 2016 #27 Naposamehe aliyenikosea sio kwamba nitamsahau -Fid Q
mhuni JF-Expert Member May 30, 2015 955 592 Feb 12, 2016 #28 aaa nimeipata sana mistar kwenz nam naleta
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Feb 13, 2016 Thread starter #29 Mzee aliyekaa uona mbali kuliko kijana aliyesimama-Kaka sungura
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Feb 13, 2016 Thread starter #30 Sikuiti shujaa kwa kufanya kile unachofanya..Ntakuita mjinga ukishindwa wakati kinawezekana-Fareed Kubanda
Sikuiti shujaa kwa kufanya kile unachofanya..Ntakuita mjinga ukishindwa wakati kinawezekana-Fareed Kubanda
BansenBurner JF-Expert Member Feb 16, 2015 6,812 5,765 Feb 13, 2016 #31 -Ndoto si kuzikalia skani ukilia lia ndoto ni kuamka mbio kuzikimbilia.
boaz mwalwayo JF-Expert Member Jan 27, 2015 5,793 4,213 Feb 13, 2016 #32 Tunadai haki zetu wanadai ni utovu wa nidhamu by joh makini
boaz mwalwayo JF-Expert Member Jan 27, 2015 5,793 4,213 Feb 13, 2016 #33 Wasomi bado watumwa kwa wanasisa inatakiwa umachale hili wale wasikulishe ujinga wasikutawale by joh makini
Wasomi bado watumwa kwa wanasisa inatakiwa umachale hili wale wasikulishe ujinga wasikutawale by joh makini
boaz mwalwayo JF-Expert Member Jan 27, 2015 5,793 4,213 Feb 13, 2016 #34 Wanatembea juu ya zuria jekundu xixi tunatembea juu ya kokoto ni damu yetu watanganyika wa mtwara by bonta
Wanatembea juu ya zuria jekundu xixi tunatembea juu ya kokoto ni damu yetu watanganyika wa mtwara by bonta
boaz mwalwayo JF-Expert Member Jan 27, 2015 5,793 4,213 Feb 13, 2016 #35 Kenge wanachafua maji wanakijiji waxiyaoge na kuwajibu itakua ngumu by mwana F A kabla ajaanza kuimba taarabu
Kenge wanachafua maji wanakijiji waxiyaoge na kuwajibu itakua ngumu by mwana F A kabla ajaanza kuimba taarabu
boaz mwalwayo JF-Expert Member Jan 27, 2015 5,793 4,213 Feb 13, 2016 #36 Ukitaka kujua umuhimu wa matako kalia kichwa by prof jay
Kaboom JF-Expert Member Nov 6, 2011 10,828 14,976 Feb 14, 2016 Thread starter #37 Kama Mungu ni mmoja hizi tofauti za nn Imani yako ndo itakuponya,sio tofauti za dini-Lord Eyes
F9T JF-Expert Member Dec 26, 2015 2,645 4,891 Feb 14, 2016 #38 'rafiki wa mlinzi wa geti ni beki tatu' jina la wimbo silijui
milioni milioni JF-Expert Member Mar 25, 2013 1,845 1,059 Feb 15, 2016 #39 Baby since yesterday u went away i cant live without u,u always on ma mind-daville ft sean paul.ni noma.
Baby since yesterday u went away i cant live without u,u always on ma mind-daville ft sean paul.ni noma.
Bigbootylover JF-Expert Member Oct 4, 2015 2,847 1,820 Feb 15, 2016 #40 Giza totoro ni ishara ya mapambazuko-Fid Q