Duh! Afande Fusi mnamkumbuka na unoko wake? Mie nilikuwa Operation Kambarage. Afande Balua na Omari walivyokuwa wanoko wanatukwepesha ndege. Kablasi na punda wake na alivyokuwa anajitafutia misifa.
kweli mkuu, hapa operation miak 30 ya uhuru, mnakumbuka afande balua, omari, nange na wengineo. kutoroka pale upitie kabuku (kituo cha basi) au gendagenda (kituo cha train), kote pori.