MNDEE
JF-Expert Member
- Jul 10, 2009
- 491
- 68
Wale mliopitia Mgambo JKT Kabuku Tanga mko wapi na mnafanya nini?
Nilikuwa operation Okoa kombania D ya Afande Tito. Nakumbuka kasheshe za afande Mtono (RIP) na migunga. Wachache tumeendelea kuwasilina na wengine hatunao tena, Saidi Usi (RIP), Masele Madalali (RIP), Macline Ndembeka yuko Dar, kuna wengine wapo BOT na jamaa mmoja ni mtangazaji ITV simkumbuki jina.
Nilikuwa operation Okoa kombania D ya Afande Tito. Nakumbuka kasheshe za afande Mtono (RIP) na migunga. Wachache tumeendelea kuwasilina na wengine hatunao tena, Saidi Usi (RIP), Masele Madalali (RIP), Macline Ndembeka yuko Dar, kuna wengine wapo BOT na jamaa mmoja ni mtangazaji ITV simkumbuki jina.