Kwa wale wa MB 200 za bure kutoka airtel internet kwa sasa ile offer imerudi! Cheersoa
Na kama unatumia kwenye simu je,hizo MB zitakuwepo siku nzima?yeah imerudi mkuu.tangu mwaka ulivyoanza. This time kama 200MB zako hazijaisha you can use them siku nzima mpaka ziishe.cha msingi usidisconnect tu internet connection
*102*6#yeah imerudi mkuu.tangu mwaka ulivyoanza. This time kama 200MB zako hazijaisha you can use them siku nzima mpaka ziishe.cha msingi usidisconnect tu internet connection
*102*6#
Message: You have 100 MB DATA to be used between 23:00hrs to 06:00hrs.
Na kama unatumia kwenye simu je,hizo MB zitakuwepo siku nzima?