Mimi ni mhanga ambae mara ya kwanza NACTE ilipotoa taarifa wanafunzi wa diploma watume maombi kujiunga na shahada kwa vigezo ya GPA 2.7 baada ya kubadilishia gia angani nilijikuta sina sifa ya GPA 3.5 sasa nilikuwa nakaulizia kale NON REFUNDABLE FEE kwa sababu kuna Tangazo lenu mlisema mtakarejesha kabla ya Mwezi wa tisa.
SASA NAONA KIMYA AU MMEAMUA KUTUDHULUMU. ni hayo tuu nisije nikaambiwa mchochezi
SASA NAONA KIMYA AU MMEAMUA KUTUDHULUMU. ni hayo tuu nisije nikaambiwa mchochezi