Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,139
Mwanzo alikuwa wazi kumteteta lowassa
yalipofika 5 bora..akaweka live ataki kuona jina la membe..si hivyo kuna.mmoja akasema who r u??ngoma ikachezwa na maji u yakajibu..mmoja akaumia.nduguye katoswa..sasa ktk siasa lazima mjue kila mtu anapenda upande utakaomlinda..akukuwa na jinsi alipoona jina la magufulia.na yeye n mwanae hata mm ningesonga mbele
kumbukeni ya
kiwira
nyumba za serikalini hapa kuna binti alipewa.nyumba masaki na mikocheni anamiliki hotel hewa pale kushoto mbele ya shell za tsn bamaga
kuna epa..
Kuna...hizi zote lazima utafute mlinzi wa kuzilinda..so sioni vyema kumsema bwm hata wewe kama binadamu kwa vimeo hapo juu lazima udili na.mtu unaemjua...
All the best ukawa vs magufuli
any atakaeshinda tutaita chaguo la mungu
..
yalipofika 5 bora..akaweka live ataki kuona jina la membe..si hivyo kuna.mmoja akasema who r u??ngoma ikachezwa na maji u yakajibu..mmoja akaumia.nduguye katoswa..sasa ktk siasa lazima mjue kila mtu anapenda upande utakaomlinda..akukuwa na jinsi alipoona jina la magufulia.na yeye n mwanae hata mm ningesonga mbele
kumbukeni ya
kiwira
nyumba za serikalini hapa kuna binti alipewa.nyumba masaki na mikocheni anamiliki hotel hewa pale kushoto mbele ya shell za tsn bamaga
kuna epa..
Kuna...hizi zote lazima utafute mlinzi wa kuzilinda..so sioni vyema kumsema bwm hata wewe kama binadamu kwa vimeo hapo juu lazima udili na.mtu unaemjua...
All the best ukawa vs magufuli
any atakaeshinda tutaita chaguo la mungu
..